Tume ya vyuo vikuu inaendelea kuimarisha mifumo ya uthibiti ubora.

Katibu Mtendaji wa tume ya vyuo vikuu nchini Prof.Charles Kihampa amesema kuwa tume ya vyuo vikuu Tanzania imeendelea kuimarisha mifumo yake ya uthibiti ubora na mifumo ya ndani ya vyuo vikuu ili kuhakikisha vyuo vikuu vinaendana na mwelekeo wa serikali.Prof.Kihampa amesema hayo  Februari 22,2023 jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa